Noble Quran » Swahili » Sorah An-Naba' ( The Great News )
Choose the reader
Swahili
Sorah An-Naba' ( The Great News ) - Verses Number 40
وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا ( 14 )
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
يَوْمَ يُنفَخُ فِي الصُّورِ فَتَأْتُونَ أَفْوَاجًا ( 18 )
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
لَّا يَذُوقُونَ فِيهَا بَرْدًا وَلَا شَرَابًا ( 24 )
Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
فَذُوقُوا فَلَن نَّزِيدَكُمْ إِلَّا عَذَابًا ( 30 )
Basi onjeni! Nasi hatutakuzidishieni ila adhabu!
جَزَاءً مِّن رَّبِّكَ عَطَاءً حِسَابًا ( 36 )
Malipo kutoka kwa Mola wako Mlezi, kipawa cha kutosha.
رَّبِّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا الرَّحْمَٰنِ ۖ لَا يَمْلِكُونَ مِنْهُ خِطَابًا ( 37 )
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, Arrahman, Mwingi wa rehema; hawamiliki usemi mbele yake!
يَوْمَ يَقُومُ الرُّوحُ وَالْمَلَائِكَةُ صَفًّا ۖ لَّا يَتَكَلَّمُونَ إِلَّا مَنْ أَذِنَ لَهُ الرَّحْمَٰنُ وَقَالَ صَوَابًا ( 38 )
Siku atakapo simama Roho na Malaika kwa safu. Hawatasema ila Mwingi wa rehema aliye mruhusu, na atasema yaliyo sawa tu.
ذَٰلِكَ الْيَوْمُ الْحَقُّ ۖ فَمَن شَاءَ اتَّخَذَ إِلَىٰ رَبِّهِ مَآبًا ( 39 )
Hiyo ndiyo Siku ya haki. Basi anaye taka na ashike njia arejee kwa Mola wake Mlezi.
إِنَّا أَنذَرْنَاكُمْ عَذَابًا قَرِيبًا يَوْمَ يَنظُرُ الْمَرْءُ مَا قَدَّمَتْ يَدَاهُ وَيَقُولُ الْكَافِرُ يَا لَيْتَنِي كُنتُ تُرَابًا ( 40 )
Hakika tumekuhadharisheni adhabu iliyo karibu kufika; Siku ambayo mtu atakapo ona yaliyo tangulizwa na mikono yake; na kafiri atasema: Laiti ningeli kuwa udongo!
Random Books
- Vipi tusome Tarekhe ya Aal-Beit na Masahaba?-
Source : http://www.islamhouse.com/p/336327
- RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKIHiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.
Source : http://www.islamhouse.com/p/309041
- Muongozo Wa Kuufahamu Uislamu Kwa Ufupi Na Kwa Kutumia Vielelezo Vya Picha-
Source : http://www.islamhouse.com/p/172713
- UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA-
Source : http://www.islamhouse.com/p/385737
- Maswali YaliyowaongozaVijana wa Kishia Kuingia Katika HakiMaswali YaliyowaongozaVijana wa Kishia Kuingia Katika Haki.
Source : http://www.islamhouse.com/p/369244